Saturday, August 23, 2008

Ridhiwani apata jiko

Rais Kikwete akiwapongeza maharusi muda mfupi baada ya kufunga ndoa, ubungo plaza.
Mama Kikwete apimpa mkono wa pongezi mkwe wake, Arafa.

Mwanasheria Ridhiwani Kikwete akiwa na mkewe Arafa mudas mfupi baada ya kufungua pingu za maisha jana usiku Ubungo Plaza.



No comments: