Monday, August 11, 2008

Wachina sasa wamezidi

Kwa wale walio bahatika kama kuangalia ule ufunguzi wa mashindano ya Olympics live nadhani mlijionea wenyewe jinsi fataki zilivyokuwa zinarushwa hapa na pale.

imethibitika kuwa zile hazikuwa fataki halisi bali zilikuwa ni geresha tu za watu wanaojua kutumia kinakilishi (Computer).

Walifanya ivyo ili kunusuru maisha ya wale waliokuwa wakishuti yale matangazo ya moja kwa moja kwakutumia Chopper yaani ndenge ya mapanga (helicopter).

Nadhani tukipewa chansi ya "ku-hosti" ivi vitu inabidi tuyaangalie haya vizuri.

No comments: