TUSAIDIENI AFANDE! Mwanafunzi John Makonyora wa shule ya Sekondari Kambangwa, akizungumza na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu, Dar es Salaam, Bw. Suleiman Kova, alipofanya ziara ya ghafla katika Kituo cha Daladala cha Mwenge kupata taarifa mbalimbali kutoka kwa wananchi zitakazosaidia kuondokana na kero za usafiri.Wednesday, August 13, 2008
Naomba Mkono Afande
TUSAIDIENI AFANDE! Mwanafunzi John Makonyora wa shule ya Sekondari Kambangwa, akizungumza na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu, Dar es Salaam, Bw. Suleiman Kova, alipofanya ziara ya ghafla katika Kituo cha Daladala cha Mwenge kupata taarifa mbalimbali kutoka kwa wananchi zitakazosaidia kuondokana na kero za usafiri.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-001.jpg)
No comments:
Post a Comment