Wednesday, September 10, 2008

kama Kawaida (One Network)

Sasa wateja wa Vodacom Tanzania, Safaricom Kenya, MTN & UTL Uganda, wanaweza kuzuru kati ya nchi hizi na kutumia Vocha za mitandao hii popote walipo kati ya nchi hizi kwa kuongea salio bila ya gharama yoyote ya ziada.

Apo awali, wateja wa Vodacom Tz, Safaricom Ke, UTl na MTN Ug, walikuwa wanaweza kuzuru moja ya kati ya nchi hizi na kutumia namba zao za kawaida za simu (Vodacom, Safaricom, UTL na MTN) na kutumia viwango vya simu vya kawaida kama wako nyumbani, sasa hata wakiishiwa muda wa maongezi basi wanaweza kuongeza kwa kutumia vocha za ugenini.

Huduma hii inaitwa Kama Kawaida yaani One Network

No comments: