Aliyekuwa Rais wa Zambia Mh! Levy Mwanawasa, aliyefariki tarehe 19 Agosti, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumatano tarehe 3 mwezi Septemba. Marehemu Mwanawasa, ameacha mke Maureen Mwanawasa, na watoto sita, ambao ni, Miriam, Patrick, Chipokota, Matolo, Lubona na Ntembe.
Habari zaidi bofya hapa http://en.wikipedia.org/wiki/levy_mwanawasa
-001.jpg)
No comments:
Post a Comment