
Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, kupitia kitengo cha Vodacom Foundation, ilikuwa ikifuturisha baadhi ya wanafunzi wa madrasa wa mikoa ya Lindi, Zanzibar, Dar-es-salaam na Tanga. Pichani ni baadhi ya wanafunzi wa shule ya madrasa ya Mawaal Islamic Centre ya Tanga.
-001.jpg)
No comments:
Post a Comment