Akionesha msisitizo kuhusu hilo...Ngwea alisema hata siku moja hatishwi na ziara za wasanii wenzake ambao alisema
hata hivyo wamekuwa wakipata malipo madogo kuliko yale ya hapa nyumbani.
...."We mwenyewe unaona pamoja na kwenda kwao ulaya kila siku...lakini si kila ziara inakuwa na manufaa...wengine
hawarudi na chochote cha maana," alimalizia Ngwair huku akimwacha mwandishi mdomo wazi akiwa haelewi je ni wivu
au ni kitu ganiiiii.
hata hivyo wamekuwa wakipata malipo madogo kuliko yale ya hapa nyumbani.
...."We mwenyewe unaona pamoja na kwenda kwao ulaya kila siku...lakini si kila ziara inakuwa na manufaa...wengine
hawarudi na chochote cha maana," alimalizia Ngwair huku akimwacha mwandishi mdomo wazi akiwa haelewi je ni wivu
au ni kitu ganiiiii.
No comments:
Post a Comment