Thursday, September 11, 2008

September 11, American's day to remember

Septemba 11, siku ya majonzi kwa wamerekani na dunia nzima, pale minara miwili mikubwa ya biashara ilipogongwa na ndege mbili za abiria zilizotekwa na wafuasi wa kigaidi wa Al-Qaeda na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 2500, kila mwaka wamerakani huadhimisha siku hii kama moja wapo ya kuwaenzi marehemu hawa.





No comments: