Thursday, August 14, 2008

Maisha yasiyo bora



Mkazi wa Kurasini Zam Cargo, Joyce Mathias, akiwa amekaa katika eneo la wazi na familia yake wakati nyumba zikiendelea kuvunjwa kupisha upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam jumatano.Wakazi hao waliilalamikia Bandari kwa madai ya kutowalipa sehemu ya fedha wanazoda.

No comments: