Tuesday, September 30, 2008

Tarime Si Shwari

Lori aina ya Mitsubishi Fuso namba T741AEK linalotumiwa na CHADEMA katika kampeni jimboni Tarime, linaonekana likiwa limevunjwa kioo cha mbele katika tukio la juzi usiku na mtu asiyefahamika.

No comments: